Isaya 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+ Matendo 13:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+
9 Kawieni, na mshangae;+ jitieni upofu, na mtiwe upofu.+ Wamelewa, lakini si kwa divai;+ wametembea kwa kuyumba-yumba, lakini si kwa sababu ya kileo.+
41 ‘Oneni, ninyi wenye kudharau, mstaajabie, na mtoweke, kwa sababu ninafanya tendo katika siku zenu, tendo ambalo hamtaliamini hata kidogo hata yeyote akiwaeleza kirefu.’ ”+