11 Baadaye Yohanani+ mwana wa Karea na wakuu wote wa majeshi+ waliokuwa pamoja naye wakasikia ubaya wote ambao Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa ametenda.
2 Azaria mwana wa Hoshaya+ na Yohanani+ mwana wa Karea na watu wote wenye kimbelembele+ wakamwambia Yeremia: “Ni uwongo ambao wewe unasema.+ Yehova Mungu wetu hakukutuma, kusema, ‘Msiingie Misri kukaa humo mkiwa wageni.’+