13 Na baada ya yote ambayo yamekuja juu yetu kwa sababu ya matendo yetu mabaya+ na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu, umepunguza uzito wa makosa yetu,+ nawe umetupa sisi wale walioponyoka kama hawa+—
18 Ndiyo, walipokuwa wamejitengenezea sanamu ya ndama+ ya kuyeyushwa na kuanza kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako aliyekuongoza kutoka Misri,’+ nao wakatenda matendo makubwa ya kukosa heshima,