Yeremia 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Hakuna matibabu kwa ajili ya kuvunjika kwako.+ Pigo lako ni la kudumu.+ Ezekieli 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Hakuna matibabu kwa ajili ya kuvunjika kwako.+ Pigo lako ni la kudumu.+
21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”