3 Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jifanyie mizigo kwa ajili ya uhamisho nawe uende uhamishoni wakati wa mchana mbele ya macho yao, nawe utaenda uhamishoni kutoka mahali pako mpaka mahali pengine mbele ya macho yao. Labda wataona, ingawa wao ni nyumba yenye kuasi.+