Ezekieli 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “ ‘Je, ninapendezwa hata kidogo na kifo cha mtu mwovu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘bali kwamba ageuke na kuziacha njia zake, naye kwa kweli aendelee kuishi?’+
23 “ ‘Je, ninapendezwa hata kidogo na kifo cha mtu mwovu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘bali kwamba ageuke na kuziacha njia zake, naye kwa kweli aendelee kuishi?’+