Yeremia 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mporaji atakuja juu ya kila jiji,+ na hakutakuwa na jiji lolote linaloweza kuponyoka.+ Na nchi tambarare ya chini hakika itaangamia na nchi tambarare itaharibiwa, jambo ambalo Yehova amesema.
8 Na mporaji atakuja juu ya kila jiji,+ na hakutakuwa na jiji lolote linaloweza kuponyoka.+ Na nchi tambarare ya chini hakika itaangamia na nchi tambarare itaharibiwa, jambo ambalo Yehova amesema.