Ezekieli 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko juu yako, Ee Tiro, nami nitainua mataifa mengi juu yako,+ kama vile bahari inavyoinua mawimbi yake.+ Ufunuo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye ananiambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba anaketi, yanamaanisha vikundi vya watu na umati na mataifa na lugha.+
3 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko juu yako, Ee Tiro, nami nitainua mataifa mengi juu yako,+ kama vile bahari inavyoinua mawimbi yake.+
15 Naye ananiambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba anaketi, yanamaanisha vikundi vya watu na umati na mataifa na lugha.+