1 Wafalme 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akafanya makombe mawili ili kuyaweka juu ya vilele vya zile nguzo, yaliyoyeyushwa katika shaba.+ Kombe moja lilikuwa na urefu wa mikono mitano, na lile kombe lingine lilikuwa na urefu wa mikono mitano.
16 Naye akafanya makombe mawili ili kuyaweka juu ya vilele vya zile nguzo, yaliyoyeyushwa katika shaba.+ Kombe moja lilikuwa na urefu wa mikono mitano, na lile kombe lingine lilikuwa na urefu wa mikono mitano.