Yeremia 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+
11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+