Ezekieli 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+
13 “ ‘Kulikuwa na mwenendo mpotovu katika uchafu wako.+ Kwa sababu hiyo nililazimika kukusafisha, lakini hukuwa safi kutokana na uchafu wako.+ Hutakuwa safi tena mpaka nitakapoituliza ghadhabu yangu kwako.+