Zaburi 58:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ambaye hataisikiliza sauti ya watumbuizaji,+Ingawa mtu mwenye hekima anapiga mafundo kwa uganga.+ Mhubiri 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa,+ basi mtu anayejua kuutumia ulimi hapati faida yoyote.