Isaya 39:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini, nao walitoka wapi wakaja kwako?” Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali kuja kwangu, kutoka Babiloni.”+
3 Baada ya hapo Isaya nabii akaingia kwa Mfalme Hezekia na kumwambia:+ “Watu hawa walisema nini, nao walitoka wapi wakaja kwako?” Kwa hiyo Hezekia akasema: “Walitoka katika nchi ya mbali kuja kwangu, kutoka Babiloni.”+