Ezekieli 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona machukizo makubwa wanayofanya,+ mambo ambayo nyumba ya Israeli wananifanyia hapa ili mimi niwe mbali na patakatifu pangu?+ Na bado utaona tena machukizo makubwa.”
6 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona machukizo makubwa wanayofanya,+ mambo ambayo nyumba ya Israeli wananifanyia hapa ili mimi niwe mbali na patakatifu pangu?+ Na bado utaona tena machukizo makubwa.”