Isaya 59:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+
9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+