Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwako wewe iko chemchemi ya uzima;+Kwa nuru inayotoka kwako sisi tunaweza kuona nuru.+ Yeremia 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’ Ufunuo 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo+
13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’
22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo+