Yeremia 39:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba, ili ampeleke Babiloni. Yeremia 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.
11 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha mfalme wa Babiloni akamfunga kwa pingu za shaba, akampeleka Babiloni+ na kumtia katika nyumba ya kifungo mpaka siku ya kufa kwake.