Yeremia 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi+ akawapeleka uhamishoni kule Babiloni+ wale watu wengine walioachwa ndani ya jiji, na wale waliokimbia ili kujiunga naye, na watu wengine walioachwa. Yeremia 52:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Katika mwaka wa 23 wa Nebukadreza, Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, nafsi 745.+ Nafsi zote zilikuwa 4,600.
9 Na Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi+ akawapeleka uhamishoni kule Babiloni+ wale watu wengine walioachwa ndani ya jiji, na wale waliokimbia ili kujiunga naye, na watu wengine walioachwa.
30 Katika mwaka wa 23 wa Nebukadreza, Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwapeleka Wayahudi uhamishoni, nafsi 745.+ Nafsi zote zilikuwa 4,600.