Yeremia 52:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+ Ezekieli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na chakula chako utakachokula kitakuwa kulingana na kipimo—shekeli 20 kwa siku.+ Mara kwa mara utakila.
6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+
10 Na chakula chako utakachokula kitakuwa kulingana na kipimo—shekeli 20 kwa siku.+ Mara kwa mara utakila.