25 ‘ “Kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nitasema neno nitakalosema, nalo litafanywa.+ Hakutakuwa na kucheleweshwa tena,+ kwa maana katika siku zenu,+ Ee nyumba yenye kuasi, nitasema neno na kulifanya hakika,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ”
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+