Kumbukumbu la Torati 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+ 1 Petro 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+
3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+
8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+