Ezekieli 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki+ na afe kutokana nao, atakufa kwa sababu ya kutenda kwa njia isiyo ya haki.+ Ezekieli 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake na kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki, lazima pia afe kwa sababu hiyo.+
26 “ ‘Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki+ na afe kutokana nao, atakufa kwa sababu ya kutenda kwa njia isiyo ya haki.+
18 “Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake na kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki, lazima pia afe kwa sababu hiyo.+