Ezekieli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na roho ikaanza kuingia ndani yangu mara tu aliposema nami,+ nayo mwishowe ikanifanya nisimame kwa miguu yangu ili nimsikie Yule anayesema nami.+ Ezekieli 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikatoa unabii kama vile alivyokuwa ameniamuru, nayo pumzi ikaanza kuingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao,+ jeshi kubwa, naam, kubwa sana.
2 Na roho ikaanza kuingia ndani yangu mara tu aliposema nami,+ nayo mwishowe ikanifanya nisimame kwa miguu yangu ili nimsikie Yule anayesema nami.+
10 Nami nikatoa unabii kama vile alivyokuwa ameniamuru, nayo pumzi ikaanza kuingia ndani yao, nao wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao,+ jeshi kubwa, naam, kubwa sana.