3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+
10 kwa Watu wa Mashariki,+ pamoja na wana wa Amoni;+ nami nitaifanya kuwa kitu cha kumilikiwa, ili isikumbukwe,+ yaani, wana wa Amoni, katikati ya mataifa.