Ezekieli 26:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Atakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota+ katikati ya bahari.’+ “ ‘Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘naye lazima atakuwa kitu cha kuporwa na mataifa.
5 Atakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota+ katikati ya bahari.’+ “ ‘Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘naye lazima atakuwa kitu cha kuporwa na mataifa.