Yeremia 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 ‘Kwa maana jiji hili, tangu siku walipolijenga, mpaka leo hii, limekuwa tu kisababishi cha hasira ndani yangu+ na kisababishi cha ghadhabu ndani yangu, ili kuliondoa mbele za uso wangu,+
31 ‘Kwa maana jiji hili, tangu siku walipolijenga, mpaka leo hii, limekuwa tu kisababishi cha hasira ndani yangu+ na kisababishi cha ghadhabu ndani yangu, ili kuliondoa mbele za uso wangu,+