Isaya 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+ Ezekieli 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 nawe utasema: “Nitapanda juu ya nchi iliyo wazi ya mashambani.+ Nitawaingilia wale wasio na usumbufu, wanaokaa kwa usalama, wote wanaokaa bila ukuta,+ nao hawana hata mapingo na milango.”
18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+
11 nawe utasema: “Nitapanda juu ya nchi iliyo wazi ya mashambani.+ Nitawaingilia wale wasio na usumbufu, wanaokaa kwa usalama, wote wanaokaa bila ukuta,+ nao hawana hata mapingo na milango.”