22 “ ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Mimi mwenyewe nitachukua pia na kuweka sehemu ya vilele vilivyo juu sana vya mierezi;+ kutoka juu ya vitawi vyake nitang’oa kitawi kichanga+ nami mwenyewe nitakipandikiza juu ya mlima mrefu na ulio juu sana.+