Zaburi 63:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wale wanaoendelea kuitafuta nafsi yangu ili waiharibu,+Wataingia katika sehemu za chini kabisa za dunia.+ Ezekieli 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
9 Nao wale wanaoendelea kuitafuta nafsi yangu ili waiharibu,+Wataingia katika sehemu za chini kabisa za dunia.+
18 “Mwana wa binadamu, ombolezea umati wa Misri na kuushusha chini,+ yeye na binti za mataifa makuu, mpaka nchi iliyo chini,+ pamoja na wale wanaoshuka kuingia shimoni.+