Isaya 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata miberoshi+ imekushangilia pia, mierezi ya Lebanoni, ikisema, ‘Tangu ulale, hakuna mkataji yeyote wa miti+ anayekuja juu yetu.’ Ezekieli 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Niliufanya kuwa mzuri katika wingi wa majani yake,+ na miti mingine yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu wa kweli ikawa ikiuonea wivu.’+
8 Hata miberoshi+ imekushangilia pia, mierezi ya Lebanoni, ikisema, ‘Tangu ulale, hakuna mkataji yeyote wa miti+ anayekuja juu yetu.’
9 Niliufanya kuwa mzuri katika wingi wa majani yake,+ na miti mingine yote ya Edeni iliyokuwa katika bustani ya Mungu wa kweli ikawa ikiuonea wivu.’+