12 Nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahame yenye ukiwa katikati ya nchi zilizofanywa ukiwa;+ na majiji yake yatakuwa mahame yenye ukiwa katikati ya majiji yaliyoharibiwa kwa miaka 40;+ nami nitawatawanya Wamisri katikati ya mataifa na kuwatapanya katika nchi mbalimbali.”+