21 Kwa maana kifo kimekuja kupitia madirisha yetu; kimeingia ndani ya minara ya makao yetu, ili kumkatilia mbali mtoto kutoka barabarani, vijana kutoka katika viwanja vya watu wote.’+
8 “Na, tazama! nitaweka kamba+ juu yako ili usijigeuze kutoka upande wako mmoja mpaka upande wako mwingine, mpaka utakapokuwa umezitimiza siku za kuzingira kwako.