Ezekieli 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe uende, uingie katikati ya watu waliohamishwa,+ katikati ya wana wa watu wako, nawe utasema nao na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema,’ bila kujali ikiwa watasikia au watakataa.”+
11 Nawe uende, uingie katikati ya watu waliohamishwa,+ katikati ya wana wa watu wako, nawe utasema nao na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema,’ bila kujali ikiwa watasikia au watakataa.”+