Ezekieli 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “ ‘Na mwovu anapogeuka na kuuacha uovu wake ambao ameutenda naye atende haki na uadilifu,+ yeye ndiye atakayeihifadhi hai nafsi yake mwenyewe.+
27 “ ‘Na mwovu anapogeuka na kuuacha uovu wake ambao ameutenda naye atende haki na uadilifu,+ yeye ndiye atakayeihifadhi hai nafsi yake mwenyewe.+