Zaburi 79:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tumekuwa shutuma kwa jirani zetu,+Dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+ Ezekieli 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao hawataendelea kuwa kitu cha kuporwa na mataifa;+ na kwa habari ya mnyama-mwitu wa dunia, yeye hatawararua, nao kwa kweli watakaa katika usalama, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+
28 Nao hawataendelea kuwa kitu cha kuporwa na mataifa;+ na kwa habari ya mnyama-mwitu wa dunia, yeye hatawararua, nao kwa kweli watakaa katika usalama, pasipo mtu yeyote wa kuwatetemesha.+