Yeremia 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+ Ezekieli 36:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nami nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nami nitachukua hatua ili mtembee katika masharti yangu,+ nayo maamuzi yangu ya hukumu mtayashika na kuyafanya kikweli.+
39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+
27 Nami nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nami nitachukua hatua ili mtembee katika masharti yangu,+ nayo maamuzi yangu ya hukumu mtayashika na kuyafanya kikweli.+