Ezekieli 38:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nawe hakika utakuja kutoka mahali pako, kutoka sehemu za mbali zaidi za kaskazini,+ wewe na vikundi vingi vya watu pamoja nawe, hao wote wakiwa wamepanda farasi, kutaniko kubwa, naam, jeshi kubwa sana.+ Ezekieli 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “ ‘Nami nitatuma moto juu ya Magogu+ na juu ya wale wanaokaa visiwani kwa usalama;+ na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.
15 Nawe hakika utakuja kutoka mahali pako, kutoka sehemu za mbali zaidi za kaskazini,+ wewe na vikundi vingi vya watu pamoja nawe, hao wote wakiwa wamepanda farasi, kutaniko kubwa, naam, jeshi kubwa sana.+
6 “ ‘Nami nitatuma moto juu ya Magogu+ na juu ya wale wanaokaa visiwani kwa usalama;+ na watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.