-
Ezekieli 40:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Na palikuwa na madirisha yenye viunzi vyenye upana tofauti+ kwa ajili ya vyumba vya walinzi na kwa ajili ya nguzo zao za kando kuelekea upande wa ndani wa lango kuzunguka pande zote, na hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa ajili ya zile kumbi. Nayo madirisha yalikuwa yenye kuzunguka pande zote kuelekea upande wa ndani, na kwenye nguzo za kando palikuwa na maumbo ya mitende.+
-