Ezekieli 48:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Patakuwa kwa ajili ya makuhani, waliotakaswa kutoka kwa wana wa Sadoki,+ ambao waliutunza wajibu kunielekea mimi, ambao hawakuenda mbali wakati ambapo wana wa Israeli walienda huku na huku, kama vile Walawi walivyoenda huku na huku.+
11 Patakuwa kwa ajili ya makuhani, waliotakaswa kutoka kwa wana wa Sadoki,+ ambao waliutunza wajibu kunielekea mimi, ambao hawakuenda mbali wakati ambapo wana wa Israeli walienda huku na huku, kama vile Walawi walivyoenda huku na huku.+