Ezekieli 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Nawe, Ee mwana wa binadamu—toa unabii, na upige kiganja cha mkono juu ya kiganja cha mkono,+ na ‘Upanga!’ unapaswa kurudiwa mara tatu.+ Huo ni upanga wa waliouawa. Ni upanga wa mtu mkuu aliyeuawa, unaowazunguka.+
14 “Nawe, Ee mwana wa binadamu—toa unabii, na upige kiganja cha mkono juu ya kiganja cha mkono,+ na ‘Upanga!’ unapaswa kurudiwa mara tatu.+ Huo ni upanga wa waliouawa. Ni upanga wa mtu mkuu aliyeuawa, unaowazunguka.+