Mambo ya Walawi 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Na ikiwa nafsi yoyote kati ya watu wa nchi itatenda dhambi bila kukusudia kwa kufanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe nayo iwe na hatia,+ Zaburi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Makosa—ni nani anayeweza kuyatambua?+Unitangaze kuwa sina hatia ya dhambi zilizofichwa.+
27 “‘Na ikiwa nafsi yoyote kati ya watu wa nchi itatenda dhambi bila kukusudia kwa kufanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe nayo iwe na hatia,+