2 Naye mkuu ataingia kupitia kwenye ukumbi wa lango,+ kutoka nje, na kusimama kando ya mwimo wa lango;+ nao makuhani watatoa toleo lake zima la kuteketezwa na dhabihu zake za ushirika, naye atainama penye kizingiti cha lango,+ naye atatoka nje, lakini lango lenyewe halitafungwa mpaka jioni.