Yoshua 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+ Ezekieli 48:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kando ya mpaka wa Gadi, hadi mpaka wa kusini, litakuwa kuelekea kusini; nao mpaka utakuwa kutoka Tamari+ hadi maji ya Meribath-kadeshi,+ hadi kwenye bonde la mto,+ hadi kwenye ile Bahari Kuu.+
5 na nchi ya Wagebali+ na Lebanoni yote upande wa mapambazuko ya jua, kuanzia Baal-gadi+ ulio chini ya Mlima Hermoni hadi maingilio ya Hamathi;+
28 Na kando ya mpaka wa Gadi, hadi mpaka wa kusini, litakuwa kuelekea kusini; nao mpaka utakuwa kutoka Tamari+ hadi maji ya Meribath-kadeshi,+ hadi kwenye bonde la mto,+ hadi kwenye ile Bahari Kuu.+