Amosi 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha akasema: “Unaona nini,+ Amosi?” Basi nikasema: “Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi.”+ Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwisho umewafikia watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+
2 Kisha akasema: “Unaona nini,+ Amosi?” Basi nikasema: “Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi.”+ Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwisho umewafikia watu wangu Israeli.+ Nami sitawasamehe zaidi tena.+