Isaya 57:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+ Yeremia 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja;+ wakati wa kuponywa, lakini, tazama! hofu!+