Ezekieli 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na makerubi hao walipoenda, magurudumu yale yalikuwa yakienda kando yao;+ na makerubi hao walipoyainua mabawa yao yawe juu ya dunia, magurudumu yale hayakuwa yakibadili mwelekeo, kutoka kando yao.+
16 na makerubi hao walipoenda, magurudumu yale yalikuwa yakienda kando yao;+ na makerubi hao walipoyainua mabawa yao yawe juu ya dunia, magurudumu yale hayakuwa yakibadili mwelekeo, kutoka kando yao.+