Yeremia 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+ Yeremia 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+
9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+