Mwanzo 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Baada ya hayo nikamuuliza na kusema, ‘Wewe ni binti ya nani?’+ naye akasema, ‘Mimi ni binti ya Bethueli mwana wa Nahori, ambaye Milka alimzalia.’ Ndipo nikaweka pete katika pua yake na vikuku mikononi mwake.+ Isaya 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 pete za vidole na pete za pua,+
47 Baada ya hayo nikamuuliza na kusema, ‘Wewe ni binti ya nani?’+ naye akasema, ‘Mimi ni binti ya Bethueli mwana wa Nahori, ambaye Milka alimzalia.’ Ndipo nikaweka pete katika pua yake na vikuku mikononi mwake.+