Yeremia 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 punda-milia+ aliyezoea nyika, wakati wa tamaa ya nafsi yake, akiupumua upepo;+ wakati wake wa kupandwa, ni nani anayeweza kumgeuza? Wale wote wanaomtafuta hawatajichosha. Watampata katika mwezi wake. Ezekieli 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+
24 punda-milia+ aliyezoea nyika, wakati wa tamaa ya nafsi yake, akiupumua upepo;+ wakati wake wa kupandwa, ni nani anayeweza kumgeuza? Wale wote wanaomtafuta hawatajichosha. Watampata katika mwezi wake.
9 Kwa hiyo nilimtia mkononi mwa wale wanaompenda kwa tamaa,+ mkononi mwa wana wa Ashuru, ambao alikuwa na uchu kuwaelekea.+