11 Nawe uende, uingie katikati ya watu waliohamishwa,+ katikati ya wana wa watu wako, nawe utasema nao na kuwaambia, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema,’ bila kujali ikiwa watasikia au watakataa.”+
4 na msikiaji kwa kweli asikie sauti ya baragumu lakini asitii onyo hata kidogo,+ nao upanga uje na kumchukua, damu yake mwenyewe itakuwa juu ya kichwa chake.+